Pagani Zonda
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 685
- 468
Inaweza, but it's not meant for that.View attachment 2953797wapendwa nauliza aina hii ya oven inaweza kupasha chakula??
Enhee kumbeeInaweza, but it's not meant for that.
Ukinunua uwe muangalifu aina ya vyombo unavyotumia kupashia.
Maswali mengine ya ajabu kabisa, sasa oven ishindwe vp kupasha chakula☻️.View attachment 2953797wapendwa nauliza aina hii ya oven inaweza kupasha chakula??
Maswali mengine ya ajabu kabisa, sasa oven ishindwe vp kupasha chakula☻️.
Maswali mengine ya ajabu kabisa, sasa oven ishindwe vp kupasha chakula☻️.
Wewe inakuhusu nini? Kwani hadi nmeuliza me mjinga?? Acha UKUDA. Alafu usinizoee MsyuuueeMaswali mengine ya ajabu kabisa, sasa oven ishindwe vp kupasha chakula☻️.
Hujielewi. Natamani nikutukane ila ngoja nikuacheMaswali mengine ya ajabu kabisa, sasa oven ishindwe vp kupasha chakula☻️.
Alafu unakiherehere kujibu. Umetumwa ujibu mkuuu??? Acha kiherehere.. pita hivi kama huwezi kucomment. LioneMaswali mengine ya ajabu kabisa, sasa oven ishindwe vp kupasha chakula☻️.
Maswali mengine ya ajabu kabisa, sasa oven ishindwe vp kupasha chakula☻️.
hii picha huwa inanichefuagaTupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee tupia tuu kiwe kibaya au kizuri leta tu hapa, tuwatamanishe watoke miudenda wale kulakula[emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 566179View attachment 566180
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahooh!
Ndiyo ndugu yangu😃Wahooh!
Umeandaa wewe ndugu yangu!?
Hongera sana aisee,ukipika tena siku nyingine usiache kutushirikisha , haswa vya asili kama hivyo.Ndiyo ndugu yangu😃
Bila shaka hilo yai la kienyeji😀
Dah imenikumbusha mbl sana.