Mie niko poaa!!life liko poa nimekumisi wewe tuu
Mie walinikatalia those days, wee nilimuwakia yule dada hatakaa anisahau maishani mwake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yap...Wana take away...tena kitambo tu...Nadhani wanachofanya wanaiongezea thamani kila leo...
Next time nitakuita Dogo lake.....Chill.
[emoji241] iko [emoji91][emoji91][emoji91]