Kwa suala la ubunifu, kwa kweli umeshindikana!Tupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee tupia tuu kiwe kibaya au kizuri leta tu hapa, tuwatamanishe watoke miudenda wale kulakula[emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 566179View attachment 566180
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasie asee unajua kula duuh mi siwezi na sitaki nisije nikawa mnene nguvu za kiume zikaisha acha niendelee na ugali wangu wa mlenda na dagaa π
Hahaha kutumia mkongo jau ilihali mi ni kijana mdogo. πππAahahahahaa wasiwasi ndo akili mtuwangu....
Ukistuka unachomoka mapemaa...π π π π
Ila usihofu, nguvu zikiisha Mkongo upo kufukia mashimo...π π
Mama huyoππ€ ngoja nipite kwa shilole tuπππ