Uzi wa vyakula tu

Kasie asee unajua kula duuh mi siwezi na sitaki nisije nikawa mnene nguvu za kiume zikaisha acha niendelee na ugali wangu wa mlenda na dagaa πŸ˜ƒ

Aahahahahaa wasiwasi ndo akili mtuwangu....

Ukistuka unachomoka mapemaa...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Ila usihofu, nguvu zikiisha Mkongo upo kufukia mashimo...πŸ˜…πŸ˜…
 
Aahahahahaa wasiwasi ndo akili mtuwangu....

Ukistuka unachomoka mapemaa...πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Ila usihofu, nguvu zikiisha Mkongo upo kufukia mashimo...πŸ˜…πŸ˜…
Hahaha kutumia mkongo jau ilihali mi ni kijana mdogo. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Ni mwendo wa kula vitu vya asili tu 😜😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…