Pilipili MangaMaboga yapo wee niambie ingredients zingine zinazohitajika
Utavikuta vyotePilipili Manga
Butter
Garlic powder
Ngoja nichukue apron kabisaUtavikuta vyote
Kaka inaonekana hawa wadudu unawapenda sana asee....mara kadhaa sasa naona kwenye dish lako hawakosekani
Kimasihara loading....Utavikuta vyote
Acha uteenager wewe kila saa wawaza ngono ππππKimasihara loading....
π€£π€£Acha uteenager wewe kila saa wawaza ngono ππππ
Kabisa buku 2000 goms utapata,wali,nyama, maharage,mchicha na watermelon juu.
View: https://youtube.com/shorts/iitJdRXQuyI?si=BqJJKk03OBJVxqKL
wali wa Jero....ππ
Bongo sihami, mbagala ndo kwetu π.
Butrer nut squash ndio manini hayo wewe? Mie nataka pumpkin soup...nilipata hiyo ndani ya emirates business class nikaipenda sasa nataka mpishi wa ukweli anitengenezee