You only have today....
You only have now...
Eat... 😋😋😋
Shikirimu ya Balesa taamuu...😋😋😋😊😊
Aahahaaahaha nimekumbuka watoto wa Mbagala kwetu wanavyoimba mtqani wakiwa wanacheza....
"Nipeleke nipelekee, waapiii kwa Baresa
Kwa Baresa kuna nini, konii kwa mrija
Wanatengeezea nini, majii ya mferejini
Kwanini mnakula, weeeh... yazidi sukarii...😋😋😋
Sukari tamu bwana, asikwambie mtu.
NB: Kula kwa angalizo la afya yako 😉.