Nimehisi anakujua..Mazoea tu kamanda
Mim hua naichanganya na nyanya,vitunguu maji,hoho na carrot ukitaka pia na add spice kidogo sababu harufu yake kidogo.We unaitengenezaje?au unailaje
Namjua huyo dogo anapika na kula vzr hanenepiMkuu unamjua nini??..au ni nini umeangalia ndo ukasema hana
Me na mazoea na wwMazoea tu kamanda
Daah, Mungu akusamehe bure maana hujui ulisemaloNamjua huyo dogo anapika na kula vzr hanenepi
Ndio..!Me na mazoea na ww
Naona heshima imeshuka sikuhzAah si unajua jf kila mtu kama mnajuana na kila mtu ana gari kumbe wizi mtupu
Naona heshima imeshuka sikuhz
Ahaaa okey shukran kwa kuniongezea ujuziMim hua naichanganya na nyanya,vitunguu maji,hoho na carrot ukitaka pia na add spice kidogo sababu harufu yake kidogo.
Wewe Inna morata, jumapili nilileta posa naambiwa haupo kwenu mwezi wa pili sasa..! Ndiyo umeolewa??Ahaaa okey shukran kwa kuniongezea ujuzi
AiseeWewe Inna morata, jumapili nilileta posa naambiwa haupo kwenu mwezi wa pili sasa..! Ndiyo umeolewa??
Hutaki nimuoe ama??Aisee
Inna morata bado anatafuta mume nenda kwenye uzi wakeWewe Inna morata, jumapili nilileta posa naambiwa haupo kwenu mwezi wa pili sasa..! Ndiyo umeolewa??
Inna morata bado anatafuta mume nenda kwenye uzi wake
Hutaki nimuoe ama??
Nashukru kwa baraka zako..!Hapana oa tu kamanda [emoji38]
Karibu sana.Ahaaa okey shukran kwa kuniongezea ujuzi
Inabidi watu wakae mbali na wewe mana si kwa mseto huo mkuu
Bila shaka unakaa kwa shemejiUsiku mwema!View attachment 885062