Wali,nyama,ndizi na vingine mwisho kula ilikuwa ni lini?Ndio nimeweka pilipili manga,cayene pepper,chumvi,mayonaiz,Na vinegar ni tamu balaa
Huu mseto, si wa mchezo mpaka nimemezea mate
Nakula mchana.Wali,nyama,ndizi na vingine mwisho kula ilikuwa ni lini?
Hapo sawa bibie...Nakula mchana.
Napenda kula balaaHapo sawa bibie...
Ndo maana unanenepa tu hadi unaanza kula majani kama mbuzi[emoji23][emoji23][emoji23]..nimeshakutengenezea hadi mwonekano wako ulivyo kichwani mwanguNapenda kula balaa
Kama kawaida yako mzee...Waungwana karibuni, View attachment 894901
Loh kitu cha mpunga kinatamanisha balaaWaungwana karibuni, View attachment 894901
[emoji3][emoji3] ngoja tujenge mwili, captainKama kawaida yako mzee...
Kabisa chief..[emoji3][emoji3] ngoja tujenge mwili, captain
Loh kitu cha mpunga kinatamanisha balaa
Kabisa chief..
Ndio mkuu..nalielewa sana..linasaidia pia mambo ya libido and staff..Nasikia wewe ni mpenz Wa dona
Hmm captain umeniacha hapo libido ni nini au ngumi[emoji2]Ndio mkuu..nalielewa sana..linasaidia pia mambo ya libido and staff..
Duuh[emoji87]Libido ni nyege
Umetishaa[emoji225] View attachment 894932