Exactly..Libido ni nyege
Ebana eheee!!![emoji225] View attachment 894932
Exactly..
No ni ya kisayansi mkuu..inaweza kuwa ni kilatini..Kumbe ila hiyo lugha ni kiswahili kweli ?
Duh kwaiyo ukaona upige picha ata hyo ya mwisho mwisho
Biriani[emoji39] hyo ni pilau
Kweli leo FridayBiriani[emoji39] [emoji39] View attachment 895693
[emoji23][emoji23]pole ..lkn umejuaje ukitoa mimba unakua na ubao..ulishawah nn[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]nilisahau mwanzoni....nilikuwa na ubao kama nimetoa mimba
Kumbeee[emoji44]Hio ni biriani ya kipakistani.
Kabisa....hujawahi kula hio kituKumbeee[emoji44]
Umeona mkuu,lazima ufurahi na ule chakula kizur.Kweli leo Friday
Mayonnaise na diet tena mamyNdio nimeweka pilipili manga,cayene pepper,chumvi,mayonaiz,Na vinegar ni tamu balaa
[emoji3][emoji3]yeahKwa selebonge nini hii
Glad to be home [emoji39]
Mchemsho ndiz mzuzu + kidariView attachment 895998