Sawa sawaNdio ndio..kula maisha mrembo
Mkuu ukipta nafas siku moja moja sio vbya kubadili menu.jaman wengne tunavionea kwenye picha tu uku ugali wa muhogo na mtama kwa mbalii uku nyama choma na kachumbari na maji ya kandolo apo poa
Usiwaze Mkuu tuzisake kma zinaisha leo.Mkuu ukipta nafas siku moja moja sio vbya kubadili menu.mkuu shida so kula ila mkwanja mkuu
Linapanda ukila na nn?Itabidi nijizoeshe kula avocado hvi hvi halipandi kabisa.
Ila msosi nimeukubali.
Mim nakunywa juice yake au huliponda na kuweka sukari kidogo nikala.Linapanda ukila na nn?
Hahah wamebadili wenyewe mchana mimi asubuhiMkuu hio mboga wengine ndo wanalia ugali mchana!!
Zinakuvusha hizo mpka morrow?Za mpemba[emoji41] View attachment 899206
Wa gmboto?Za mpemba[emoji41] View attachment 899206
Asante [emoji120]Duh! Pole mwaya
Ata kwa juice sio mbayaMim nakunywa juice yake au huliponda na kuweka sukari kidogo nikala.
Wa gmboto?
Hapana..[emoji14]
Gomz sehemu gani kuna hiyo mambo??Nilidhani Wa gomz maana ...
Naona leo umekula
Za mpemba[emoji41] View attachment 899206
Gomz sehemu gani kuna hiyo mambo??
Siri yao nini chief??..Kuna sehemu panaitwa kwa Mpemba ni gmboto mwisho, ukila leo utarudi kesho kesho kutwa na mtondogoo ila siri ya mpemba ukiijua ni shida