Huyo ni mzee wa infinksi from hongkongUnatumia simu mchina nn? Picha inatoka na maruerue
Yaan hapo ndo ningepata na kisingizio cha kwenda kwa mchepuko kabisa[emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Infinx inatoaga picha za ukweli .itakua kua anatetemeka mikono tu ili atoe hvyo maana unamuandama sana ni za kudownloadHuyo ni mzee wa infinksi from hongkong
Haaaah we mtoto mbona unataka nipigwe jujuInfinx inatoaga picha za ukweli .itakua kua anatetemeka mikono tu ili atoe hvyo maana unamuandama sana ni za kudownload
Na utapigwa kweli utuliage wengine hawachezewiHaaaah we mtoto mbona unataka nipigwe juju
Wahi kwa ndambi upate lunch alafu upitie mti pesaMpakani au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wahi kwa ndambi upate lunch alafu upitie mti pesa
Yule wa mti pesa naona amefunga wiki hii hali chaliifrancisco
Mbali jmn na njaa hii si ntaanguka njianiNo..goba ndambi
[emoji16][emoji16]...na kweliMbali jmn na njaa hii si ntaanguka njiani
Haaah huyu nammudu vizuri tu babu yangu mwenyewe yuko njema,istoshe nimeaga kwetu..ataona bwawa tuNa utapigwa kweli utuliage wengine hawachezewi
Yaani nilivyoona mdoli wangu kacomment bado kidogo nipige ukunga nimekuwa hacked![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii picha nimeiona vzur ama nikuota naota.
Pilau[emoji39] [emoji39]Leo nimekula hivi kwa Sele. Nilisahau kuwapa pichaView attachment 911833
My dear wapi hio nifike hapo.
My dear wapi hio nifike hapo.
Mmmmh