dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
hizi zipo zimejaa masokon mkoa wowote uliopo nenda soko kubwajapo ni mwezi tangu hii post, ila naomba kufahamishwa wapi hizo broccoli zinapatipaka, iwe jijini Dar au mkoani
Lipa kodi mkuu watumishi watalipwaje??...drink beer save the government..hahaha kidding though
Kidding ila ujumbe umefika mkuu una pay tax mara moja moja kama mwanaumeLipa kodi mkuu watumishi watalipwaje??...drink beer save the government..hahaha kidding though
Nalipia kodi kupitia maziwa na majani ya chai[emoji1] [emoji1] [emoji1]Lipa kodi mkuu watumishi watalipwaje??...drink beer save the government..hahaha kidding though
labda unisaidie kama zina jina jingine linalofahamika zaidi hasa uswahilini, maana mimi nikiuliza broccoli watu wanabaki wanatoa macho jina jipya.hizi zipo zimejaa masokon mkoa wowote uliopo nenda soko kubwa
Hapana sifahamu jina lingine nenda kwenye masoko makubwa sio hayo ya uswahilinlabda unisaidie kama zina jina jingine linalofahamika zaidi hasa uswahilini, maana mimi nikiuliza broccoli watu wanabaki wanatoa macho jina jipya.
shukraniHapana sifahamu jina lingine nenda kwenye masoko makubwa sio hayo ya uswahilin
Msosi bora Wa Msimu
Dah... [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]dada haya ni mateso bila haki ujue
Doooh... Mzigo uko on point
Hii kachumbari nimeipenda[emoji275]View attachment 913568