THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,055
- 4,695
Ungejua nnavo penda nyau...!!Subiri niku mention kwenye uzi wangu wa nyau upo mda.
Maskini minyoo yangu....!![emoji27] [emoji27]
Yummy yummy!!
Maskini minyoo yangu....!![emoji27] [emoji27]
Dah kwa sie tunaopenda kula vizuri tukipata wa kuoa mpishi kama wewe (ceteris peribus) tuta enjoy sana.Hata hawajawiva bado [emoji13]
Hizi chips za samaki samaki.....au nimekoseaa??
Hivi ujumbe wangu haukuuonaa lakin jaman??
It’s my favourite.
Nyumbani Zanzibar tunaita mapesheni.
Jaman sasa huku ni kutoana roho