Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Hahaa msosi wa kitaifaKiporo cha maharage kinajua kuonewa jamani
Sunday special View attachment 961614
Hahaa!! Ndio mambo ya Emma makukuTomato kama yote
Unashushia Pepsi baridi sana..yenye kabarafu. [emoji39]Sunday special View attachment 961614
Swadaktaa!Unashushia Pepsi baridi sana..yenye kabarafu. [emoji39]
Nini hii jirani yanguYummy..1
yummy..!View attachment 963495
Tambi karoti maharage jiraniNini hii jirani yangu
Anhaa, sawaTambi karoti maharage jirani
Sasa hivi ni mwendo kama wa kwa mzee baba magogoni.
Mwendo wa juice na pipi[emoji1] [emoji1] [emoji1] View attachment 963604
Tambi karoti maharage jirani
Trust you me, nikiwa nyumbani ndani chumbani napiga sana ma push-ups.Nakuhisabia calories kaka maana tz wajilia tu [emoji23][emoji23]