Uzi wa vyakula tu

Kweli wewe mwanaume wa dar.ndo maana ulishindwa kunigegeda
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngabu hizi shutuma hebu zikanushe ASAP ama zifanyie kazi
 

Achana naye huyo.

Maybe she’s not that attractive.....how about that?
 
Sasa mambo ya duka yanatoka wapi huku? Halafu ngabu naomba dola mia basi mpenzi

Sasa mimi kusema duka ndo umbea?

Nimetaja duka la mtu kwani?

Mbona mi mwenyewe nimetoka dukani sasa hivi...

We huendagi dukani?

Saa ingine unakuwaga faala sana aisee!
 
Reactions: amu
zamani nilikua nanunua maji madogo nakuja huku natazama picha za mapochopocho namezea na maji mchana unapita salama bila tabu....siku hzi kila nikija nakutana na comments bila ata picha[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Wekeni ata za ku download bas kama paka kalala jikoni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…