Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Eeh napajua uje na mananasi na maembeHmm migomban tena[emoji44]
Nipo kiwangwa unapajua?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hyo unalipiza eeh[emoji23][emoji23][emoji23] we unavyofanya huwa unaona vizuri?
wewe unaijua ya wap?Eeh napajua uje na mananasi na maembe
Hayo Ndio makande? Hebu nifundisheni namie nipike ili niyajue ladha yake naskia tu ni matamu.
Nazijua mbili ya bagamoyo na kigamboniwewe unaijua ya wap?
Ooh! Kumbe zipo nyingi basi hii ya rufijiNazijua mbili ya bagamoyo na kigamboni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hyo unalipiza eeh
Ndio dada, kwenye kupika hapo ntakufundisha kesho leo mwaya
Sawa, huko hakuna cha kubeba kuleta nyumbani?Ooh! Kumbe zipo nyingi basi hii ya rufiji
Haya tesa mamaKutesa kwa zamu.
Siku ukipika keki naomba uniite tafadhaliSawa nitashukuru.
Siku ukipika keki naomba uniite tafadhali
Vipoo tele usijali andaa tumboSawa, huko hakuna cha kubeba kuleta nyumbani?
SawaaaNitawaletea hapa msijali.
Vipoo tele usijali andaa tumbo
Hahhahaa!!!Hayo ndo maneno