[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Hizo chapati umenikumbusha nyumbani kwetu nilipokwenda kwa mama kipindi cha mapumziko ya mwaka[emoji24] [emoji24] [emoji24][emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Unapatikana wapi?Njoo uchukue[emoji28]
Hizo chapati umenikumbusha nyumbani kwetu nilipokwenda kwa mama kipindi cha mapumziko ya mwaka[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Unapatikana wapi?
Kisukulu, kweli Dar kubwa ndio wapi hiyo?Kisukulu..karibu.
Kisukulu, kweli Dar kubwa ndio wapi hiyo?
Unaamaanisha Tabata kisukuru, ok. Ahsante[emoji28] [emoji28] Tabata hiyo
Unaamaanisha Tabata kisukuru, ok. Itabidi nikipata siju nikutafute.
Thanks my dear.You're warmly welcome.
Nyie leo mmenikusudia kuniliza[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Chapati zilizotukukaTuko kazini bado!!
[emoji1]Chapati zilizotukuka
Kazi kwako alibakari![emoji1] [emoji125]
Duhh! Sawaa Mkuu wa Tabata Kisukuru!!