Uzi wa vyakula tu

Tamu..kuna wengine huwa hawaoshi basi inakuwaga nzitoooo unaiskia kabisa ile ladha hadi unasinzia kwa utamu..

Weekend umeanza mapema uwi..

Hawaoshi[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15],mh pia unatakiwa usugue Na ndimu kdg kukata harufu Na vidudu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…