Unapenda loshoro nikupeleke kwetu bomani kwa kokoo ukale vibuyu kumi vya loshoro?
Daah! Kilo nyingine namna hiyoNna kg 98 saa hizi
Hata sifikirii kupungua
Nanja mamalaiNitaelekea Loksali, kokoo yupo mahali gani chalii?
salama kabisa
tunashukuru sanaAm dedicating this one for those who eats for living!View attachment 987553
huu uzi sio wa kuingia kabisa ukiwa umefumga aisee
Mwanaume wa Dar![emoji1][emoji1][emoji1]
Mwanaume wa Dar![emoji1][emoji1][emoji1]
Wanaume wa mkoani misosi yetu ni hii mkuu,siyo utani wa kuita chips laini eti ni zege![emoji123][emoji123][emoji123]
hahahahaha![emoji23][emoji23][emoji23]mimi huwa unanifaa sana.. Nikiwa na njaa halafu sina kitu naingia humu nakula kwa macho
Jr[emoji769]