No ilikua company ya watu watatu [emoji23] [emoji23]Nyama zote hizo unakula mwenyewe
Hii so ndo supu wanayoiita ya ulimi?
Mkuu nakupa banView attachment 606983kwa hisani ya Abbasfarudume
Ulimi choma Mkuu au??
Jioni inaenda hivyo.. Kibaha Carnival.
Babu hizo chipsi mbona nyeupe hivyo
Zimekaangwa na mafuta ya alizeti.Babu hizo chipsi mbona nyeupe hivyo
Hiyo sio sababu babu vitakuwa viazi vya Bukoba hivyoZimekaangwa na mafuta ya alizeti.