babulakibaha
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 287
- 326
[emoji3] [emoji3] [emoji3] mhhh!!. Bukoba kuna ndiziHiyo sio sababu babu vitakuwa viazi vya Bukoba hivyo
Ee na viazi vyao vinafanana na ndizi. Nyanda za juu kusini hatuna viazi vya hivyo[emoji3] [emoji3] [emoji3] mhhh!!. Bukoba kuna ndizi
Huku Mtwara sijui wanavitoa wapi. Lakini mkaangaji anasema katumia mafuta ya alizeti kukaangia viaziEe na viazi vyao vinafanana na ndizi. Nyanda za juu kusini hatuna viazi vya hivyo
Mwambie mkaanga chipsi namsalimiaHuku Mtwara sijui wanavitoa wapi. Lakini mkaangaji anasema katumia mafuta ya alizeti kukaangia viazi
Mkuu hawa safi sana[emoji106] [emoji106]
Sina hela mkuu vipi naweza kuja dowea.. Sema ndo nafika gero napika saiziUna bei ganiiii
Wapendwa karibuni chai[emoji116]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]