Kweli eehh!!? Ngoja Wajukuu waniandalie siku moja,then nitaleta mrejesho[emoji111]
Duhh!! Kiukweli sijawahi kukaa na kuanza kupika tangu niijue dunia!!Jaribu..simple sana hata bila wajukuu unaandaa[emoji39]
Duhh!! Kiukweli sijawahi kukaa na kuanza kupika tangu niijue dunia!!
Hataki kabisa. Ni shidaa[emoji28] [emoji28] [emoji28] Bibi hataki umuingilie au sio.
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Road patroo[emoji39] [emoji39]
[emoji38] [emoji38] Zimo kwenue sausage[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Nyama Hamnaaaaaa
Nitajie mchanganyiko wa vilivyomo humo. Nataka nipike na mimi.
Hapa ndo penyewee[emoji39] [emoji39]
Huu ni ubwabwa sio wali
Teh teh teh! Tubwiii.Hii kitu hatari sana...
Hapo unaugali wa unga wa Muhongo wa kutwangwa sio wa mashine. Matonge unakuwa unayasikilizia yanapita kwenye aesofagasi tu, tubwiii
Mkuu vp hayo unauza?