Nifundishe kupikaBasmati fried rice na nyama ya ng’ombe kwa mbali kuna kikopo cha garlic and butter sauce,
Hata page ya kwanza kabisa ya huu uzi imesema unaweza kudanlod kama huna cha kupost [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12]Kwani kuna ubaya gani kama nadownload,watu wanadownload pesa sembuse chakula,karibu tudownloadView attachment 1110337
SawaNifundishe kupika
Hehe hayaMimi nitakuwa mwonjaji
yeah ,ndiyo theme ya thread yetu pendwaHata page ya kwanza kabisa ya huu uzi imesema unaweza kudanlod kama huna cha kupost [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12]
Hapo uyapatie na maharage ya nazi na uji wa mtama [emoji39][emoji39][emoji39]
Hapo uyapatie na maharage ya nazi na uji wa mtama [emoji39][emoji39][emoji39]
Maandalizi ya futari haya
Kwani kuna ubaya gani kama nadownload,watu wanadownload pesa sembuse chakula,karibu tudownloadView attachment 1110337