Kivipi mkuu?[emoji23] [emoji23] [emoji23] fursana
Kama anauza mi nataka niyanunue, niyapike tjen nitupie hapa kwenye uzi hudika yakisindikizwa na ka ugali pembeni na kachumbariFursa za kibiashara [emoji3]
Mkuu ww ni nyoko mamaee yaani hapo kusugua nynya mm nishajikata vidole mpaka baasi..
Hahaaaaaaa mm nina kovu kwenye mguu la maji aisee sina mazoe na kupika kabisa...Dah, leo ngoja nikuoneshe siku ya kwanza kwanza kurudi jikoni baada ya muda mrefu kupita
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Mkuu ww ni mwanaume unayekula hichi chakulaa..?
Mkuu ww ni mwanaume unayekula hichi chakulaa..?
[emoji115] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Pyeee[emoji38] [emoji38] [emoji38] Kimepulizwa[emoji116] [emoji116]
Mwendo wa pilau VYUKU.
Karibuni sana[emoji114] [emoji114]
Sijakula hiyo kitu sijui tangia lini ila mda umepita mrefuPyeee[emoji38] [emoji38] [emoji38] Kimepulizwa[emoji116] [emoji116]
Mwendo wa pilau VYUKU.
Karibuni sana[emoji114] [emoji114]