chatne hahah
Nimeona nikusalimie hujambo lakiniMaandazi kwa samaki[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39].
Nimeona nikusalimie hujambo lakini
Mzee wa chura unazingua..hizo si soseji mkuu??Hilo hapo kwenye sahani kubwa linalofanana na mb*o ni nini?
Mzee wa chura unazingua..hizo si soseji mkuu??
Naona watu wanapost misosi kila siku...siku nikiamka viziri nitaleta uzi wa kutengeneza dessert murua na ya haraka.
Inshaallah.
Samahan mkuu Hiyo avatar ni ww?
Before & After [emoji847]View attachment 1265095View attachment 1265096
Before & After [emoji847]View attachment 1265095View attachment 1265096