Hahahaaa hatari sanaAah wapi sitii mguu wangu kule
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mchepuko fc!!sorry mama watotoView attachment 629843
Chakula cha hivi huwa kitamu balaa
Nina wasiwasi na hii kitu mbona unakorogea kisu[emoji4] [emoji4] [emoji4]
Hiki nini tenaaa
[emoji3]mida hii, wali yai na mtindi..
Mshana,huyo kamongo??nilimpenda baadae nikavunjwa moyo ati ni nyoka.nilimkuta kasha pasuliwa .hongera hata hvo.Leo napika mwenyewe View attachment 609839