Uzi wa vyakula tu

Hiyo mboga kiporo cha jana namalizia leo na ugali. Ugali nitasonga baadae nao niuweke? Ila nyumba yangu hawapendi ugali wanasusa hawali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] najikuta nakula mwenyewe.
Lakini namuambiaga dogo ukiwa na kwako utachagua msosi hapa unakula ninachotaka mie.
Nimeona mboga tayari

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji848][emoji1][emoji1][emoji1]
Jr[emoji769]
 
mie mpenzi wa ugali kuliko wote nyumbani unajikuta unakula pekeako tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…