Uzi wa vyakula tu

kuweni makini na vyakula mnavyotumia kwajili ya afya zenu
 
Mwamba we acha tu.. vyuma vimekaza, ukiendekeza dog shavu litagoma, hapo kwa hasira nimefunga milango yote, pembeni bonge la mjagi wa maji ya kunywa., kengele nimeitegesha, mtu akija kuibofya tu, itamjibu wenye nyumba hawapo, tafadhali rudi tena baadae..

Moyo mpaka vitongozeo nilitia ndani.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hii kitu inaitwa Mandi Handhramut... nao pends sana Na wala huishibi haraka maana wali wake hauna mafuta ( it’s like steamed rice cooked by its own lamb soup)
Mdogo wangu donnie yen..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…