Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Daaah!!!Kumbe mpaka jina lake unalikumbuka kwa ufasaha kabisa?Wewe ni noma sana!Halafu siyo "Tolu"
Ni Tola
Leo kulikuwa na hali ya mawingu mchana [emoji23][emoji23]Giza likatanda rum kwangu.
[emoji15][emoji15][emoji15]
huyu atakuwa anatoa mkoa hulee
Mzee wa KWIO huyu ni kama wale tunaoagiza kilingeni...NIMEWAMISS[emoji39][emoji39][emoji39][emoji855][emoji855][emoji855] View attachment 1599027
Eti mzee wa kwio![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzee wa KWIO huyu ni kama wale tunaoagiza kilingeni...NIMEWAMISS[emoji39][emoji39][emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada mtaalam..naomba uliza swal.kuna siku mchepuko nilienda kwake akanipikia kuku.wali harage na mboga flan ya majan ilikua nadhan chinese ile ila sasa ule utam sjawai kula mboga tam kama ile..sjui aliweka maziwa mule sjui nn...kila nikimuuliza recipe anasema nimuoe atanambia....ilikua na ka usukar kwa mbaal...halaf nzito. Heb nisaidie labda unaelewa
Unatuambia Karibu Sana?!Hapana aisee,nani ale dagaa![emoji2211][emoji2211][emoji2211]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Unatuambia Karibu Sana?!Hapana aisee,nani ale dagaa![emoji2211][emoji2211][emoji2211]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mzee wa kuku hutaki dagaa.
Hilo zege la dagaa [emoji23][emoji23]Unatuambia Karibu Sana?!Hapana aisee,nani ale dagaa![emoji2211][emoji2211][emoji2211]
Mkuu hili zege uchungu wake ni kama kula dawa vile![emoji23][emoji23][emoji23]Hilo zege la dagaa [emoji23][emoji23]
Dada mtaalam..naomba uliza swal.kuna siku mchepuko nilienda kwake akanipikia kuku.wali harage na mboga flan ya majan ilikua nadhan chinese ile ila sasa ule utam sjawai kula mboga tam kama ile..sjui aliweka maziwa mule sjui nn...kila nikimuuliza recipe anasema nimuoe atanambia....ilikua na ka usukar kwa mbaal...halaf nzito. Heb nisaidie labda unaelewa