Hahahaha ankoo mhmhmh
Karibuni...tarehe si rafiki...it's January
Asante.. Nishaponaga [emoji23][emoji1] [emoji1] [emoji1] chalii pole
Duh.. Hata vidole vya kile huvijui man.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Uo mkono na mguu na poz alilikaa mbona kama mwanamke
Jaman njaa..... Hamna msosi leo
Nitumien hata glass ya majiJanuary hatupiki mama..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dadeki arafu anaepiga huo msosi wa nguvu ni demBila shaka ni kibudu kwa huo mchinjo hakuna swali
Ahsante MkuuKaribuni wapendwa[emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Ni dinner au kipo kingine kinakuja?Karibuni wapendwa[emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Ahsante Bibiye
Karibuni fresh from jikoni
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji87] [emoji87]
Hii ilikuwa lunch[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Ni dinner au kipo kingine kinakuja?
Hahahahaha kunywa maji na mihogoJaman njaa..... Hamna msosi leo
Unashindia maji tuJanuary hatupiki mama..[emoji23] [emoji23] [emoji23]