Dah mzee baba unantia udenda bado sijauona wa mida ya Dochi veleUHAKIKA..SINDIOView attachment 1851467
Ngavu.we SI ulipiga mtibwa db...Sasa Mimi leo sikugonga tea nilikuwa na ka show flani Cha kumsafishia mwanangu mmoja kiwanja chake ndo maana nimegeuza mchana huu nikaliunga la kizushi ngoma mpaka jioni hio...Sasa hv naingia kitaa majabalini kuzuga naweka pozi mpk jioni MB 1024 zipo uhakikaDah mzee baba unantia udenda bado sijauona wa mida ya Dochi vele
Mkuu unakula kipendacho roho kabisa
Vizuri[emoji3059]ubunifu mkuu wangu
Hahahah 1GB uhakika,,, mie leo napiga acapella mpaka mishale ya BBC london niko clanga session kitaa!Ngavu.we SI ulipiga mtibwa db...Sasa Mimi leo sikugonga tea nilikuwa na ka show flani Cha kumsafishia mwanangu mmoja kiwanja chake ndo maana nimegeuza mchana huu nikaliunga la kizushi ngoma mpaka jioni hio...Sasa hv naingia kitaa majabalini kuzuga naweka pozi mpk jioni MB 1024 zipo uhakika
Nzr tatizo sina uhakika wa kushiba [emoji3]Morning guys.
Karibuni sanaView attachment 1850254
Duh asee kweli we mbabe chunga SanaHahahah 1GB uhakika,,, mie leo napiga acapella mpaka mishale ya BBC london niko clanga session kitaa!
Vilikuja vikaisha yani havina hamu na mimi😅 maana nikiwa tight siwazag kulaDuh asee kweli we mbabe chunga Sana
VITONDA VYA TUMBO VINAZUILIKA
Unaenda hatua tatu mbele halafu unarudi hatua tano nyuma...shauri yako mkuu asilimia kubwa Sana ya magonjwa Ni vyakulaView attachment 1851499
diet ishanishinda nijisosomole tu
Unaenda hatua tatu mbele halafu unarudi hatua tano nyuma...shauri yako mkuu asilimia kubwa Sana ya magonjwa Ni vyakula
Mkuu haka Ni ka mbuzi RC?Mchana mwemaView attachment 1851528
Fanya ile diet ya nyama nyama wanaita sijui keto[emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 1851499
diet ishanishinda nijisosomole tu
Fanya ile diet ya nyama nyama wanaita sijui keto[emoji39][emoji39][emoji39]
Ningekuwa kibonge ningefanya ile,nashindia nyamanyama,samaki,mbogamboga na matunda [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] badala ya kupungua ningenenepa tena
Mimi baada ya kula Kuku mwezi mmoja👇😁kuku ndiyo ugonjwa wangu mkubwa, kungekua na diet ya kuku nisingenenepa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiyo mauaji diet ndo unashindia nini?[emoji23][emoji23][emoji23] nilishajaribu nilinenepa
yaani inayonipunguza ni ile ya 13 days diet, eggs diet ya 10 days na mauaji diet.
Mimi baada ya kula Kuku mwezi mmoja[emoji116][emoji16]
View attachment 1852535