Uzi wa wanaJF ambao marital status zao ni "Single"

Dreka asante kwa kunirahisishia kazi maana umenipa namba ya mwanzo kabisa... shukrani mkuu
 
Dreka mtoe Demiss maana Jr, anakusanya kodi ya kitanda kwake kila siku labda siku yuko juu mwezini tu.... hivyo mtoe hapo
 
Hapana mbona mimi sina... nimeshatafuta humu Mmu hadi admin wamenikalili yaani wanafufa uzi zangu tu
Badili jinsia labda utawapata

Natania mkuu
 
Utaniweza?
Una ATM
Una benki
Una usafiri
Una malazi
Una kabati ya mbeho
Una ....
Una ....
Una ...
Hivyo vyote utavipata. Hadi utanikimbia na machozi juu kwa mahaba nitakayokupatia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…