Mwezeshaji1
Member
- Sep 26, 2023
- 69
- 124
Unapitia NINI mwanakwetu?
Usife na tai shingoni, eleza kinabaubaga tusikie...tatizo NIIIIIINI?
Usife na tai shingoni, eleza kinabaubaga tusikie...tatizo NIIIIIINI?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini usiuze hyo simu ili upate usngzi🤣Asante Mkuu kwa kuuliza swali lenye uzito mkubwa sana.
Mimi kinachonikosesha usingizi ni SIMU, yani natumia simu kama Customer Care anaehudumia Wateja wa mtandao wa simu.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Mkuu una umri gani?Katika nyanja ipi Sasa.
Kama mahusiano, mi napitia kuachika sababu Sina hela,...
Kama Kimaisha ...na stress za kutokufanikisha malengo ya kuwa na funguo tatu[emoji24]
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app