[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha uzembeNtamwambia Mama anitafutie mi nmechoka
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mama anaweza fanya chochote kwa ajili yetu wa mwisho
Mnajidai watoto wa mwisho..ndiyo maana hua nawabonyeza makwenzi.Mama anaweza fanya chochote kwa ajili yetu wa mwisho
Emu tujifungulie 😂😂Mkifungua wa firstborn naomba mnitag
Kwa sisi wahenga mara nyingi first born na second born wanakuwa wamepishana miaka miwili au mitatu na wengine mmoja kabisa kwa hiyo wanakuwa kama wanalingana tu. Katika mazingira kama hayo muda wa kutengeneza njia hata haupoUkiwa second born una nafasi kubwa ya kufanikiwa. Sababu njia inakua ishatengenezwa na support kutoka kwa first born
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ntamwambia Mama anitafutie mi nmechoka
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji41][emoji41]
Kuumbe na ww ni second born km mimiMasecond born hatuna stress....kazi kujikalia sebuleni na kusikiliza first born na last born wanavyorushiana maneno....
Huku tunajismea mioyoni heehehe...hawa hawakumbwa na corona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii kweliiiSecond born kwa upande wa mwanaume ni safi ila kama wa kwanza ni mtoto wa kike kupigana kupo pale pale na msoto upo. cha msingi kila mmoja apambane kutengeneza njia yake
Husna Muba.