Uzimaji simu feki

Uzimaji simu feki

Joined
May 24, 2016
Posts
34
Reaction score
7
Natumaini kwa sasa kila mmoja ameshajua hatma yake kuhusu TCRA katika Uzimaji Simu Feki Hii itasaidia saana kuepukana na kero mbali mbali zinazojitokeza kwa watu !!Asaaanten Tcra[emoji12] [emoji12]
 
Natumaini kwa sasa kila mmoja ameshajua hatma yake kuhusu TCRA katika Uzimaji Simu Feki Hii itasaidia saana kuepukana na kero mbali mbali zinazojitokeza kwa watu !!Asaaanten Tcra[emoji12] [emoji12]
*HABARI NJEMA JUU YA KUZIMA SIMU FEKI* Hakuna simu inayozimwa bila kuminywa power button. Simu feki zote zitakosa mawasiliano..ila zitaendelea kuwaka kama kawaida Kwahyo bado utaweza tumia katika baadhi ya huduma kama *tochi*, *calculator* na kucheza *game*. Unaweza pia kuitumia kama silaha pindi mtu atakapokucheka unaweza mtupia ikamuumiza. Kwahiyo sio kweli kwamba simu yako itakosa huduma zote.
 
Back
Top Bottom