17 September 2020
Mbeya Vijijini
Tanzania
Kamanda China wa China Joseph Mwasote
Mgombea wa ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA kamanda Joseph Mwasote hatimaye azindua kampeni yake ya 2020 baada ya Tume ya Uchaguzi kurudisha jina lake liliokuwa limeenguliwa kufuatia pingamizi alilowekewa jimboni.
Kamanda Joseph Mwasote ni mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya pia Makamu Mwenyekiti Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa CHADEMA.
Mbeya Vijijini
Tanzania
Kamanda China wa China Joseph Mwasote
Mgombea wa ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA kamanda Joseph Mwasote hatimaye azindua kampeni yake ya 2020 baada ya Tume ya Uchaguzi kurudisha jina lake liliokuwa limeenguliwa kufuatia pingamizi alilowekewa jimboni.
Kamanda Joseph Mwasote ni mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya pia Makamu Mwenyekiti Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa CHADEMA.