Uchaguzi 2020 Uzinduzi Kampeni: Mgombea wa Mbeya Vijijini ubunge

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
17 September 2020
Mbeya Vijijini
Tanzania

Kamanda China wa China Joseph Mwasote



Mgombea wa ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA kamanda Joseph Mwasote hatimaye azindua kampeni yake ya 2020 baada ya Tume ya Uchaguzi kurudisha jina lake liliokuwa limeenguliwa kufuatia pingamizi alilowekewa jimboni.

Kamanda Joseph Mwasote ni mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya pia Makamu Mwenyekiti Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa CHADEMA.
 
JOSEPH CHINA: "MABILIONI YA CCM HAYATUTISHI"
Kamanda Joseph Mwasote almaarufu kama China wa China akielezea hali ya kisiasa mikoa ya Mbeya na Songwe
hapo 2017 na maono yake ifikapo mwaka 2020 mwaka wa uchaguzi Mkuu katika mahojiano exclusive na DSS Tunduma
Chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA), kimewatoa hofu wafuasi na wanachama wake,kuhusiana na sakata la kamatakamata ya viongozi wao.

Akiongea na kituo hiki mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Mbeya,amesema wananchi wasiwe na hofu,kwani wao wamejipanga vyema kwa jinsi serikali inavyotaka na watakuwa tayari kwa uchaguzi ujao wa 2020 hata kama watapewa mwezi mmoja wa kampeni za 2020.

Mbali na hilo China-wa-China pia ametolea ufafanuzi suala la viongozi wanaohama chama hicho na kudai kuwa viongozi hao wananunuliwa na chama tawala CCM na hivyo kama watapewa nafasi ya kugombea katika uchaguzi ujao basi watagalagazwa.

Source : DSS Tunduma
 
2017 HATUMUOGOPI MTESI (VIONGOZI WA CHADEMA TUNDUMA)
 
Magufuli ni muoga sana.

Asante PENTAGON asante Thinktank.
Asante marekani.
🙏
 
Vedio ya Tunduma afu Heading ya Mbeya vijijini. CDM mnapenda sana vitu fake.
 
J Jamaa kafanana kidogo na Mbowe
 
Magufuli ni muoga sana.

Asante PENTAGON asante Thinktank.
Asante marekani.
[emoji120]
Miaka 59 ya UHURU tuna vyote hivi;

Mount Kilimanjaro

Serengeti National Park

Mikumi

Ziwa Victoria, Tanganyika

Makaa ya mawe Songea

Bandari ya DSM

Gesi ya Mtwara

Almasi

Tanzanite

Dhahabu

Bado CCM imeshindwa kumpa mwananchi MAJI ya kunywa safi na salama tu
 
Halmashauri ya Mbeya Vijijini:

Jimbo la uchaguzi Mbeya Vijijini Hali ya Kisiasa

Jimbo la uchaguzi la Mbeya vijijini lina Tarafa 3, kata 28, Vijiji 152 na Vitongoji 935 ambavyo hivi ni vituo vya kupigia kura na vituo 302 vya kuandikisha wapiga kura.

Aidha katika uchaguzi wa 2015 Madiwani Ishirini na nane (28) waliibuka washindi katika uchaaguzi Mkuu huo, kati yao Madiwani ishirini na moja (21), wa Chama Cha Mapinduzi na saba ni wa (7) CHADEMA. Halikadhalika kuna Madiwani wawakilishi wa viti maalum, CCM wapo saba (7) na CHADEMA ni watatu (3), hivyo Jumla ya Madiwani wote wa Halmashauri kuwa Thelathini na nane (38)

Source : Election | Mbeya District Council
 
Hahahahahaaaa . . . eti maji safi na salama. Yaani nimecheka mpaka basi. Ila nimetafakari sana nilipoiona list hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…