Uzinduzi rasmi wa JF Aprili 2010

Status
Not open for further replies.
Hongereni sna Mungu azidi kuwabariki jamni im in luv wit JF!
 
Asanteni uongozi wa JF hasa kwa kuelewa uhitaji wetu,na pia kutumia muda wenu kwa ajili yetu Mungu awabariki kwa kila mlipangalo lifanikiwe.Tupo pamoja
 
Poleni na majukumu... Tupo Pamoja...!
 
Idumu JF, lizidi kustawi jamvi letu, wengi walijue na kuwa waumini wa jukwaa letu lililo kisima cha fikra huru. Mods keep up the good job!!
 
Wakuu nashukuru kwa comments zenu, tutayapitia maoni yote na kuyafanyia kazi
 
Ahsante mkuu, tupo pamoja na tutaendelea kuwa pamoja! ahsante kwa taarifa.
 
Laiti taifa letu lingepata viongozi na watendaji wachapa kazi kama Invisible na timu yake.... but no, wishes have never been horses thanx to CCM... Thumbs up wakuu.
 
- Mkulu Invisible, ubarikiwe sana na Mungu wa mbinguni maana unachofanya hapa huwezi kulipwa na sisi bin-adam, ila Muumba tu wananchi wanakunywa elimu bure hapa, wananchi wanaamshwa usingizini, wananchi wanafungulwia macho na masikio, I mean ubarikiwe tu mkuu!

Respect.


FMEs!
 
Thanks for a job well done - and all this without us paying a dime!!

Sasa, ninapendekeza pia katika "new look" JF itakayoanza Aprili msisahau kama kutakuwa na bendera ya Tanzania, kuweka rangi ya bluu ikae chini na kijani juu
 
Thanks for a job well done - and all this without us paying a dime!!

Sasa, ninapendekeza pia katika "new look" JF itakayoanza Aprili msisahau kama kutakuwa na bendera ya Tanzania, kuweka rangi ya bluu ikae chini na kijani juu
JF ni zaidi ya hapo... JF iwe ya kimataifa zaidi, kama si Afrka mashariki na ya kati.
 
Ahsante kwa taarifa, nawatakia maboresho mema! tupo pamoja
 
Kwa niaba ya wenzangu (wawili, mimi wa tatu) napenda kuwashukuru wote mliotuunga mkono tangu tunaanza na mnaoendelea kutuunga mkono tunakoelekea. Tunaamini katika ushirikiano mengi yanawezekana!

Kila jema wakuu, UWAZI na kukata NYANGA daima.
 
Ninaamini mabadiliko hayatahusu fikra zetu za ukombozi wa hii nchi.

Napendekeza kampuni yoyote ya kifisadi isiruhusiwe kuleta tangazo hapa, pamoja na yote yanayokwepa kodi... I may sound weird, I mean every single word!!
 
Forum kama hii ilipaswa kuwa na mod si chini ya watano (5)...
 
Mie mkuu huwaga nasuuzika sana roho yangu hasa nionapo macho yako meupe yanapopesa kutoka kwenye uso wako mweusi ti. Hakika mmetufanyia mengi na makubwa sana isiyoweza kutathminika kirahisi. Siku zaja ambapo wengi watasema kama sio JF, basi na waseme.....!

Mbarikiwe sana na muwe na maisha marefu hadi tuione Tanzania ikielekea kwenye maziwa na asali.
 
Hongera JF team, pamoja daima..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…