Uzinduzi rasmi wa JF Aprili 2010

Status
Not open for further replies.
Mkuu Kichuguu,

Shukrani sana kwa info hizi; natambua kuwa fonts zinazoonekana kwa sasa huenda zinawaumiza mlio wengi, tunalifanyia kai hilo haraka zaidi ya mengine.

Kwa wengine, wakuu tumeamua kuiweka JF hewani ili discussions muhimu ziendelee, marekebisho yataendelea chini kwa chini, mtaona vitu vikibadilika ghafla lakini in a positive way. Baadhi ya vitu kwenye navbar havifanyi kazi vema, ikiwa ni pamoja na kutokuwepo nyimbo zilizozoeleka, tunayafanyia kazi haya yote.

Kwa wanaotaka kutangaza JF, tutaweka rates na locations za matangazo ili ziwe public.

AHsanteni wakuu
 
Party ya uzinduzi ni lini na wapi? bila shaka nitapata kakinywaji na bites kidogo
 
Hongereni sana JF Administration...................maana kulikuwa na na risk ya baadhi ya wanaJF kuanza kuzoea kutoiona JF............mmefanya vyema kuirudisha sasa hivi..............nawatakieni kila la kheri katika kuweka sawa sehemu zilizobaki.........
 
Mbona nilianza kukonda!..bora mko online sasa, japo naona kama iko ndivyo sivyo; natumai mnaendelea na kazi na hii sio fainal.
Good luck!
 
Kwa kweli wakuu nawapa pongezi ya dhati kabisa.Kwa kweli kuikosa JF kwa siku hizi zote haikua jambo rahisi.Yaani nimejikuta hata nikijisahau na kudhani JF ni haki yangu ya msingi tena,kwa kweli congrats wakuu kwa shughuli nzito.Suala la michango nasubiri kumaliza pepaz ndo nione utaratibu ,kwa kweli najiskia kudaiwa

Owise,bravo wakuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…