Kwanza pesa ya gharama zote imetoka mfukon mwake.
amekodi ukumbi ndani ya Serena hotel Dar,hakuna kiingilio ni kwa invited pekee ambao ni CEOs wa makampuni mbali mbali,watu mashuhuri waandishi na wasanii na baadhi ya watakaoalikwa .
ni watu zaid ya 500 na kila kichwa chakula na vinywaji gharama yake ni dollar 45(elf 80 hiv)
na kila mwandiahi atakayekuwepo atalipwa posho
.Kwa ujumla gharama za hii video mpaka kuzinduliwa ni zaid ya million 70 .
.Heaven on sesert
wcb