Ni mpuuzi sana, jogging tangu lini ikazuia watu wasiswali au kwenda kanisani kusali.?Kweli kabisa, japo naona Mambosasa ameshaanza kumuwinda mtumishi wa Bwana. Kaanza kwa kuzuia jogging clubs!!!
Watu tupo tayari kwa 100%Hawa watu wamezuia jogging tu, sasa itakuwa matembezi ya hiari? It won’t happen. Au watu wenyewe kwa hiari yao watagoma kutoka nje kuhofia vipigo vya polisi
Nahisi waliopo ughaibuni watakuwa wanashangaa tunawezaje kuongozwa na watu wa aina hii. Kuanzia Rais, Mawazir n.kNi mpuuzi sana, jogging tangu lini ikazuia watu wasiswali au kwenda kanisani kusali.?
Sipati picha kwa idadi ya Maaskofu, Manabii & Wachungaji waliopo Tz, nao wangeamua kusimama upande wa haki. Mapema sana historia ingeandikwa. Lakini wengi wao ni wanafiki na wapigaji.Na lengo la hizosarakasi za Mamboleo ni juu ya mchungaji tu
Tuko pamoja. Tutashiriki.Askofu Mwamakula atazindua kampeni kubwa ya "Matembezi ya Hiyari" katika Jiji la Dar es Salaam katika Mwezi Februari 2021 katika siku na tarehe itakayotangazwa. Kampeni hiyo inalenga kuuhamsisha umma kuhusu umuhimu wa kuunda Tume Huru ya Uchaguzi na kuandika Katiba Mpya. Utaratibu wa matembezi hayo utakuwa kama ifuatavyo:
1. Washiriki wanashauriwa kuvaa barakoa (masks) ili kujikinga na Covid 19.
2. Washiriki watakaotembea na Askofu watatakuwa katika makundi makundi ambapo kila kundi halitazidi watu 10 ambapo kutakuwa na umbali wa mita 100 kutoka kundi moja hadi lingine.
3. Kundi la Askofu halitazidi watu 20 watakaoambatana naye
4. Washiriki wengine watatakiwa kujipanga barabarani ambako Askofu atapitia wakiwa wamevalia barakoa wakiachiana umbali wa mita 1 kati ya mtu na mtu.
5. Barabara zitakazotumika ni Morogoro, Malamba Mawili-Kinyerezi, Goba-Mbezi, Bagamoyo, Uhuru, Nyerere, Morogoro, Shekilango, Kilwa Road, Umoja wa Mataifa, Azikiwe, Kawe, Kigamboni, Chang'ombe, Mandela, Tabata-Segerea, Tandale kwa Tumbo, Kawawa, Bibi Titi Mohammed, Lumumba, Msimbazi, Tandika, Sam Nujoma, nk.
6. Siku ya kwanza itakuwa katika Wilaya ya Ubungo katika Barabara ya Morogoro katika Manzese na Mbezi kwa Yusufu.
5. Utaratibu utafanyika ili Askofu pamoja na baadhi ya waalikwa maalum waweze kuhutubia mikutano ya hadhara katika viwanja vya Kawe, Machava, Tabata, Mwembe Yanga, Mbagala, Biafra, Chanika, nk.
6. Washiriki watakaoweza watavaa t-shirts na kofia maalum zenye ujumbe kuhusiana na matembezi. Wasioweza watavaa mavazi ye yote!
7. Pale ambapo itashindikana kuhutubia mkutano wa hadhara, Askofu atahitimisha kwa kunywa maji au chai pamoja na watembeaji.
8. Matembezi yatakuwa yanaanza saa 8:00 mchana na yatakuwa yakifanyika katikati ya wiki ili kutoa nafasi kwa waajiriwa kushiriki.
Baada ya kumaliza kuzindua katika Mkoa wa Dar es Salaam, Askofu na timu yake wataelekea katika Mikoa ya Songwe na Mbeya kabla ya kuelekea Mikoa mingine. Mikoa itakayopewa kipaumbele kuanza ni ile ambayo itakuwa imekamilisha maandalizi mapema. Mkoa wa Songwe umekuwa wa kwanza kumuomba Askofu kuanza nao hivyo atazindua Tunduma! Hata hivyo, Askofu atafika katika kila Mkoa na kila Wilaya na hivyo matembezi yatadumu kwa muda wa mwaka mzima.
Tarehe ya matembezi kwa kila sehemu, wilaya au mkoa itakuwa ikitangazwa siku tano kabla. Utaratibu na mpangilio wa matembezi unaweza kubadilika kulingana na mazingira ya sehemu husika.
Vyama vya siasa, na taasisi za kiraia vinatiwa moyo kuhamasisha watu kujitokeza kwa wingi na hata kusaidia katika uratibu na maandalizi.
Sambaza ujumbe huu kwa kila mtu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Mbona hii ilishafeli..!Askofu Mwamakula atazindua kampeni kubwa ya "Matembezi ya Hiyari" katika Jiji la Dar es Salaam katika Mwezi Februari 2021 katika siku na tarehe itakayotangazwa. Kampeni hiyo inalenga kuuhamsisha umma kuhusu umuhimu wa kuunda Tume Huru ya Uchaguzi na kuandika Katiba Mpya. Utaratibu wa matembezi hayo utakuwa kama ifuatavyo:
1. Washiriki wanashauriwa kuvaa barakoa (masks) ili kujikinga na Covid 19.
2. Washiriki watakaotembea na Askofu watatakuwa katika makundi makundi ambapo kila kundi halitazidi watu 10 ambapo kutakuwa na umbali wa mita 100 kutoka kundi moja hadi lingine.
3. Kundi la Askofu halitazidi watu 20 watakaoambatana naye
4. Washiriki wengine watatakiwa kujipanga barabarani ambako Askofu atapitia wakiwa wamevalia barakoa wakiachiana umbali wa mita 1 kati ya mtu na mtu.
5. Barabara zitakazotumika ni Morogoro, Malamba Mawili-Kinyerezi, Goba-Mbezi, Bagamoyo, Uhuru, Nyerere, Morogoro, Shekilango, Kilwa Road, Umoja wa Mataifa, Azikiwe, Kawe, Kigamboni, Chang'ombe, Mandela, Tabata-Segerea, Tandale kwa Tumbo, Kawawa, Bibi Titi Mohammed, Lumumba, Msimbazi, Tandika, Sam Nujoma, nk.
6. Siku ya kwanza itakuwa katika Wilaya ya Ubungo katika Barabara ya Morogoro katika Manzese na Mbezi kwa Yusufu.
5. Utaratibu utafanyika ili Askofu pamoja na baadhi ya waalikwa maalum waweze kuhutubia mikutano ya hadhara katika viwanja vya Kawe, Machava, Tabata, Mwembe Yanga, Mbagala, Biafra, Chanika, nk.
6. Washiriki watakaoweza watavaa t-shirts na kofia maalum zenye ujumbe kuhusiana na matembezi. Wasioweza watavaa mavazi ye yote!
7. Pale ambapo itashindikana kuhutubia mkutano wa hadhara, Askofu atahitimisha kwa kunywa maji au chai pamoja na watembeaji.
8. Matembezi yatakuwa yanaanza saa 8:00 mchana na yatakuwa yakifanyika katikati ya wiki ili kutoa nafasi kwa waajiriwa kushiriki.
Baada ya kumaliza kuzindua katika Mkoa wa Dar es Salaam, Askofu na timu yake wataelekea katika Mikoa ya Songwe na Mbeya kabla ya kuelekea Mikoa mingine. Mikoa itakayopewa kipaumbele kuanza ni ile ambayo itakuwa imekamilisha maandalizi mapema. Mkoa wa Songwe umekuwa wa kwanza kumuomba Askofu kuanza nao hivyo atazindua Tunduma! Hata hivyo, Askofu atafika katika kila Mkoa na kila Wilaya na hivyo matembezi yatadumu kwa muda wa mwaka mzima.
Tarehe ya matembezi kwa kila sehemu, wilaya au mkoa itakuwa ikitangazwa siku tano kabla. Utaratibu na mpangilio wa matembezi unaweza kubadilika kulingana na mazingira ya sehemu husika.
Vyama vya siasa, na taasisi za kiraia vinatiwa moyo kuhamasisha watu kujitokeza kwa wingi na hata kusaidia katika uratibu na maandalizi.
Sambaza ujumbe huu kwa kila mtu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Mkuu BAK mbona unataka mfalme juha leo asinywe chai kwa raha zake?
HakikaMkuu hatuwezi kuona mtu mmoja anaichafua Nchi yetu na sisi kuamua kujikunyata kama vile hatuna uchungu na nchi yetu na maovu yote yaliyokithiri sisi hayatuhusu, vinginevyo vizazi vyetu vijavyo vitatucheka na kutuona wapumbavu.
Kwanini hatukuandamana kupinga matokeo pamoja na hisia kali tulizokuwa nazo za mabadiliko leo Ni nini kitawahamasisha watu zaidi ya uchanguzi uliopita ili wawe na nguvu ya kuweza kutoka na kuandamanaKwa taarifa yako tupo, anaweza asipate watu wengi sana hasa hapa mwanzoni kutokana na hofu watu waliyojengewa, ila nakuhakikishia watu tupo bila kujali idadi yetu.
Hao watu hawana ubongo. We subiri utaona February inapita kimyaa, mwanzo walisema January. Kila mwezi wanasogeza mbele.Kwanini hatukuandamana kupinga matokeo pamoja na hisia kali tulizokuwa nazo za mabadiliko leo Ni nini kitawahamasisha watu zaidi ya uchanguzi uliopita ili wawe na nguvu ya kuweza kutoka na kuandamana
So many katikaskatika Jiji la Dar es Salaam katika Mwezi Februari 2021 katika
Kwanini hatukuandamana kupinga matokeo pamoja na hisia kali tulizokuwa nazo za mabadiliko leo Ni nini kitawahamasisha watu zaidi ya uchanguzi uliopita ili wawe na nguvu ya kuweza kutoka na kuandamana