ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameyataka Mashirika Yanayosimamia sekta ya umeme kushusha bei kutoka Senti 8.5 Hadi Senti 5 za Dola Ili Kuchochea Sekta ya Viwanda..
Nanukiu'Hatuwesi kujadili kuondoa umaskini wakati bei ya umeme Iko juu'
Alikuwa akizungumza kwenye uzinduzi wa Mradi wa Umeme wa Kikagati-Morogo 14 megawatt ambao ulizinduliwa Kwa pamoja na Rais Samia..
My Take
Museveni kichwani Bado Yuko fiti sana.
Nanukiu'Hatuwesi kujadili kuondoa umaskini wakati bei ya umeme Iko juu'
Alikuwa akizungumza kwenye uzinduzi wa Mradi wa Umeme wa Kikagati-Morogo 14 megawatt ambao ulizinduliwa Kwa pamoja na Rais Samia..
My Take
Museveni kichwani Bado Yuko fiti sana.