Uzinduzi wa Mradi wa Umeme Kikagati-Murongo,Rais Museveni Ataka Bei ya Umeme Ishuke Ili Kuchochea Sekta ya Viwanda

Uzinduzi wa Mradi wa Umeme Kikagati-Murongo,Rais Museveni Ataka Bei ya Umeme Ishuke Ili Kuchochea Sekta ya Viwanda

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameyataka Mashirika Yanayosimamia sekta ya umeme kushusha bei kutoka Senti 8.5 Hadi Senti 5 za Dola Ili Kuchochea Sekta ya Viwanda..

Nanukiu'Hatuwesi kujadili kuondoa umaskini wakati bei ya umeme Iko juu'

Alikuwa akizungumza kwenye uzinduzi wa Mradi wa Umeme wa Kikagati-Morogo 14 megawatt ambao ulizinduliwa Kwa pamoja na Rais Samia..

My Take
Museveni kichwani Bado Yuko fiti sana.
 
M7 anatakaje tena gharama ya umeme ishuke? Ningemwelewa sasa, iwapo yeye na Kwin Camilla pachake WANGEAGIZA umeme ushushwe bei.

The so-called leaders are desperately crying too like everyone else!
 
Back
Top Bottom