mm sipingani na huo uzinduzi ila kinachoniumiza kichwa kulikuwa hakuna kituo kikubwa cha kupooza na kusambaza huo umeme hapo kijijini au hio nguzo moja ndo itahudumia kijijini kizima?
mm sipingani na huo uzinduzi ila kinachoniumiza kichwa kulikuwa hakuna kituo kikubwa cha kupooza na kusambaza huo umeme hapo kijijini au hio nguzo moja ndo itahudumia kijijini kizima?