Uzingizi hamna

Uzingizi hamna

KENYAN BOY

New Member
Joined
Aug 21, 2010
Posts
1
Reaction score
0
Leo nikaamka macho hayaoni eti juu ya kukaaa nikiusikiza miziki wabongo.wajua hukumarigani bongo hamna!
 
Leo nikaamka macho hayaoni eti juu ya kukaaa nikiusikiza miziki wabongo.wajua hukumarigani bongo hamna!

ulikuwa unataka usaidiweje maana hueleweki........samahani kama nitakuwa nimekukwaza
 
Hahahahahahaha! UZINGIZI....haahahahhahahahaha....mbavu zangu!!!!
Anyway, karibu sana jamvini Kenyan Boy.
 
ahahahaahahaaaa...haya mambo ndo huwa yananifanya niipende EAC na hasa ile fast-tracking yake ya maingiliano ya jamii zetu...sahivi sie tutawafundisha hawa kina kenyan boy "kiswahili fasaha"...nao in-exchange watatufundisha "Queen's english"....sasa kenyan boy...huwa hatusemi uZingizi..tunasema uSingizi
 
Back
Top Bottom