Wakuu leo naingia kwenye jukwaa hili kuwashauri wana MMU wenzangu, tuache uzinzi.
Uzinzi haulipi, ebu jiulize kwa nini uishi kwa wasiwasi kila siku, wasiwasi wa kuwa na UKIMWI. Wasiwasi wa kuacha familia yako shauri ya UKIMWI, wasiwasi wa kwenda kupima mke wako anapopapata ujauzito. Wasiwasi pale unapoangalia watoto wako ukiwa na mawazo kuwa wewe ni baba/ mama mwathirika,kuwa mwaminifu. wanawake hupenda kulipa kisasi. wanawake hupenda kufata tabia za waume wao, kuwa big dady siyo dady UKIMWI tu.
Kwa Mkristo mwenzangu, uwe waaminifu katika maisha ya ukristo wako. nenda kusali. Anzisha kanisa la kiroho nyumbani. Sara za jioni za asubuhi. Soma neno la Mungu funga na kuomba. Umeshamchagua mwenza wako. Komaa acha kifo kiwatenganishe. Tunza watoto wako na jamii yako. Biblia inasema wazinzi kwao ni kwenye ziwa la moto.
Na kama Muislamu, Uwe na hofu ya Mungu kazana kuswali, funga kuwa busy. Uislamu hauruhusu uzinzi sawasawa na kwa Ukriksto ambapo uzinzi ni marufuku. Pia kama unatamani uoe.Chagua wazuri wazuri mpaka wafikie wanne.
Kataa kuishi maisha ya wasiwasi kataa kuisha maisha ya kuogopa kataa kuishi na ya kufikiria UKIMWI komaa na mke/ mume wako. Si ulimchangua mwenyewe.
Chondechonde ndugu zangu wanaume kwa wanawake tubaki njia kuu mchepuko sio dili.
Kwa wote wanaopenda familia zao wataniunga mkono.
Uzinzi haulipi, ebu jiulize kwa nini uishi kwa wasiwasi kila siku, wasiwasi wa kuwa na UKIMWI. Wasiwasi wa kuacha familia yako shauri ya UKIMWI, wasiwasi wa kwenda kupima mke wako anapopapata ujauzito. Wasiwasi pale unapoangalia watoto wako ukiwa na mawazo kuwa wewe ni baba/ mama mwathirika,kuwa mwaminifu. wanawake hupenda kulipa kisasi. wanawake hupenda kufata tabia za waume wao, kuwa big dady siyo dady UKIMWI tu.
Kwa Mkristo mwenzangu, uwe waaminifu katika maisha ya ukristo wako. nenda kusali. Anzisha kanisa la kiroho nyumbani. Sara za jioni za asubuhi. Soma neno la Mungu funga na kuomba. Umeshamchagua mwenza wako. Komaa acha kifo kiwatenganishe. Tunza watoto wako na jamii yako. Biblia inasema wazinzi kwao ni kwenye ziwa la moto.
Na kama Muislamu, Uwe na hofu ya Mungu kazana kuswali, funga kuwa busy. Uislamu hauruhusu uzinzi sawasawa na kwa Ukriksto ambapo uzinzi ni marufuku. Pia kama unatamani uoe.Chagua wazuri wazuri mpaka wafikie wanne.
Kataa kuishi maisha ya wasiwasi kataa kuisha maisha ya kuogopa kataa kuishi na ya kufikiria UKIMWI komaa na mke/ mume wako. Si ulimchangua mwenyewe.
Chondechonde ndugu zangu wanaume kwa wanawake tubaki njia kuu mchepuko sio dili.
Kwa wote wanaopenda familia zao wataniunga mkono.