masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Naomba kuuliza eti pesa au biashara haviendani na uzinzi au kujaamiana na watu flani flani au kujamiiana na mtu flani specifically
Je ni kweli pesa huwa inakimbia ukianza kufanya uzinzi
Au ukiwa na mahusiano na watu flani flani?
Binafsi nina ushuhuda
Ukiwa msafi namaanisha haujamiiani mauzo na mzunguko wa pesa upo mkubwa sana,
Ila sina uhakika kama hiyo ni sababu pekee yake ila naomba wajuzi walichambue kweli kweli
Na je utajuaje kama huyu mtu ukiwa nae pesa haikimbii?
Je ni kweli pesa huwa inakimbia ukianza kufanya uzinzi
Au ukiwa na mahusiano na watu flani flani?
Binafsi nina ushuhuda
Ukiwa msafi namaanisha haujamiiani mauzo na mzunguko wa pesa upo mkubwa sana,
Ila sina uhakika kama hiyo ni sababu pekee yake ila naomba wajuzi walichambue kweli kweli
Na je utajuaje kama huyu mtu ukiwa nae pesa haikimbii?