TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Uzinzi na uasherati una gharama kubwa mno!
MOJA WAPO YA GHARAMA YA UZINZI/UASHERATI!
1. Gharama ya Vyumba vya kufanyia Uzinzi/Uasherati wenu
2. Gharama za vyakula vya watu wawili (Chako nacha Mzinzi/Muasherati mwenzio)
3. Gharama za vinywaji vya watu wawili ( Vyako navya Mzinzi/Muasherati mwenzio)
4. Gharama za Usafiri ya watu wawili.
5. Gharama za Matibabu (Endapo umepata Kisonono,Kaswende au Pangusa).
6. Gharama za Kufata dawa za kumeza kila siku (Endapo umepata HIV/AIDS)
7. Gharama ya kifo.
ENDELEA NA UZINZI/UASHERATI TU LAKINI MWISHO WAKE NI MBAYA!
MOJA WAPO YA GHARAMA YA UZINZI/UASHERATI!
1. Gharama ya Vyumba vya kufanyia Uzinzi/Uasherati wenu
2. Gharama za vyakula vya watu wawili (Chako nacha Mzinzi/Muasherati mwenzio)
3. Gharama za vinywaji vya watu wawili ( Vyako navya Mzinzi/Muasherati mwenzio)
4. Gharama za Usafiri ya watu wawili.
5. Gharama za Matibabu (Endapo umepata Kisonono,Kaswende au Pangusa).
6. Gharama za Kufata dawa za kumeza kila siku (Endapo umepata HIV/AIDS)
7. Gharama ya kifo.
ENDELEA NA UZINZI/UASHERATI TU LAKINI MWISHO WAKE NI MBAYA!