Uzito na unene

Jogoo10

Senior Member
Joined
Jul 22, 2014
Posts
100
Reaction score
11
Habari zeni wakuu, nina jirani yangu ana mtoto wa kiume ana umri 11, ni mnene uzito wake kilo 45, hali hii unampa wasi mzazi, jee njia ipi nzuri, ya kupunguza unene na uzito wa huyu kijana, watalaam msaada tafadhali. Naomba kuwasilisha.
 
Awe anatembea. Amtafutie kitu cha kufanya weekend. Mfano wawe wanaenda kununua maziwa mbali kama km 2 hivi bila gari na kurudi kila jumamosi, kama ni wakristo waende kanisani mbali kidogo bila gari
 
Awe anatembea. Amtafutie kitu cha kufanya weekend. Mfano wawe wanaenda kununua maziwa mbali kama km 2 hivi bila gari na kurudi kila jumamosi, kama ni wakristo waende kanisani mbali kidogo bila gari

Mavyepe ......junk foods ni source nzuri sana ya unene kwa watoto...
 
sidhani kwa mtoto wa bongo kama anaweza kupata hizo chipsi za kimarekani na kuwa mnene kupindukia. Chipsi za ngama hazikufuru kwa mtoto. Shida ya mitoto ya siku hizi anaamka asubuhi anaoga na kunywa chai, anabebwa na gari to and fro shuleni. Shuleni wala hachezi, anasoma. Hapati muda wa kuunguza msosi
Mavyepe ......junk foods ni source nzuri sana ya unene kwa watoto...
 

Hujaona watoto wanaokula wewe....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…