Doctor MD
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 209
- 249
UZITO ULIOPITILIZA
Mgawanyo wa uzito kwa BMI hapa chini
Uzito ulio mdogo
<18.5
Uzito wa kawaida
18.5-24.9
Uzito uliozidi
25-29.9
Uzito uliopitiliza(obesity)
30-39.9
Uzito uliopitiliza na hatari zaidi
BMI
Huu ni mfumo wa ukokotoaji wa uzito wa mtu(KG) chini au ugawe kwa urefu wake(urefu zidisha kwa urefu)
Yaani BMI=uzito/urefu zidisha kwa urefu
Kizio chake =KG/M2
Uzito uliozidi huwa unapelekea chance ya kupunguza umri wa kuishi kwa Zaidi ya miaka 5 hadi 7 huu ni kutokana na utafiti uliofanyika. Sababu kubwa ni kutokana na kwamba uzito huathiri au hupelekea magonjwa mbalimbali katika mfumo wa kawaida wa binadamu.
Sababu zinazoweza kupelekea uzito kuzidi ni kama zifuatazo. Uwepo wa jeni za kurithi kutoka kwa wazazi kama vile baba au mama. Hii ina mana kwamba baba au mama wakiwa na uzito uliopitiliza basi watoto wao waweza kumbana na hiyo shida.
Aina ya maisha unayoishi kama vile kutokufanya kazi hii hupelekea sana kupata tatizo kama hili
Na aina ya chakula mtu anachokula haswa vile vinavyotengeneza sukari Zaidi ya 20 (rejea jedwali lenye aina mbalimbali ya vyakula)
UZITO ULIOZIDI= AINA YA VYAKULA UNAVYOKULA + JENI ZA KURITHI + MAISHA YA KUTOJISHUGULISHA
Tujaribu kuangazia jinsi mifumo ya mwili inavyoathirika kutokana na uzito uliozidi yani namanisha BMI >25(kubwa Zaidi ya 25)
Mgawanyo wa uzito kwa BMI hapa chini
Uzito ulio mdogo
<18.5
Uzito wa kawaida
18.5-24.9
Uzito uliozidi
25-29.9
Uzito uliopitiliza(obesity)
30-39.9
Uzito uliopitiliza na hatari zaidi
BMI
Huu ni mfumo wa ukokotoaji wa uzito wa mtu(KG) chini au ugawe kwa urefu wake(urefu zidisha kwa urefu)
Yaani BMI=uzito/urefu zidisha kwa urefu
Kizio chake =KG/M2
Uzito uliozidi huwa unapelekea chance ya kupunguza umri wa kuishi kwa Zaidi ya miaka 5 hadi 7 huu ni kutokana na utafiti uliofanyika. Sababu kubwa ni kutokana na kwamba uzito huathiri au hupelekea magonjwa mbalimbali katika mfumo wa kawaida wa binadamu.
Sababu zinazoweza kupelekea uzito kuzidi ni kama zifuatazo. Uwepo wa jeni za kurithi kutoka kwa wazazi kama vile baba au mama. Hii ina mana kwamba baba au mama wakiwa na uzito uliopitiliza basi watoto wao waweza kumbana na hiyo shida.
Aina ya maisha unayoishi kama vile kutokufanya kazi hii hupelekea sana kupata tatizo kama hili
Na aina ya chakula mtu anachokula haswa vile vinavyotengeneza sukari Zaidi ya 20 (rejea jedwali lenye aina mbalimbali ya vyakula)
UZITO ULIOZIDI= AINA YA VYAKULA UNAVYOKULA + JENI ZA KURITHI + MAISHA YA KUTOJISHUGULISHA
Tujaribu kuangazia jinsi mifumo ya mwili inavyoathirika kutokana na uzito uliozidi yani namanisha BMI >25(kubwa Zaidi ya 25)