Makobus Senior Member Joined Jul 30, 2012 Posts 169 Reaction score 110 May 10, 2023 #1 Jamani naomba msaada. Eti ni kweli kwamba uzito wa gari ni sawa na uzito wa mzigo ambao inaweza kubeba? Mfano, gari tani moja inaweza kubeba mzigo wa tani moja pia? Gari tani tatu inaweza kubeba mzigo wa tani tatu? nk. Karibuni kwa msaada.
Jamani naomba msaada. Eti ni kweli kwamba uzito wa gari ni sawa na uzito wa mzigo ambao inaweza kubeba? Mfano, gari tani moja inaweza kubeba mzigo wa tani moja pia? Gari tani tatu inaweza kubeba mzigo wa tani tatu? nk. Karibuni kwa msaada.
KndNo1 JF-Expert Member Joined Oct 26, 2021 Posts 627 Reaction score 2,049 May 11, 2023 #2 Hapana.. Sio sawa..!
Ndengaso JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,831 Reaction score 14,259 May 12, 2023 #3 Sio kweli .... mfano IST ina Tani 1.1 lakini inabeba mzigo wa KG 375 tu na hapo ni pamoja na abiria.
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,496 May 12, 2023 #4 Sio kweli.
Makobus Senior Member Joined Jul 30, 2012 Posts 169 Reaction score 110 May 23, 2023 Thread starter #5 Bavaria said: Sio kweli. Click to expand... Ukweli ukoje?
Mr simple M JF-Expert Member Joined Sep 18, 2020 Posts 2,202 Reaction score 4,653 May 23, 2023 #6 Sio kweli Gari za mizigo hubeba uzito mkubwa kuliko uzito wake ila gari ndogo hubeba uzito mdogo kuliko uzito wake
Sio kweli Gari za mizigo hubeba uzito mkubwa kuliko uzito wake ila gari ndogo hubeba uzito mdogo kuliko uzito wake
Mapfa A JF-Expert Member Joined Jan 9, 2015 Posts 250 Reaction score 259 Jun 4, 2023 #7 Angalia kwenye kadi ya gari, Gross weight na Tare weight the difference ndiyo uwezo wa gari kubeba.
Makobus Senior Member Joined Jul 30, 2012 Posts 169 Reaction score 110 Jun 28, 2023 Thread starter #8 Mapfa A said: Angalia kwenye kadi ya gari, Gross weight na Tare weight the difference ndiyo uwezo wa gari kubeba. Click to expand... Nimeangalia lakini hakuna tofauti. Gross na tare zote ni 1149 kg. Hapo itakuwaje sasa? Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mapfa A said: Angalia kwenye kadi ya gari, Gross weight na Tare weight the difference ndiyo uwezo wa gari kubeba. Click to expand... Nimeangalia lakini hakuna tofauti. Gross na tare zote ni 1149 kg. Hapo itakuwaje sasa? Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app