Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Milima tuWakuu msaada tutani. Kuna mwenye amewahi kuishi au anaishi huko malamba mawili anisaidie uzoefu pakoje kwa maana ya ni tambarare au miinuko, vp maji si tatizo? Na mengine yatayofaa
Doh kumbeMilima tu
Wakuu msaada tutani. Kuna mwenye amewahi kuishi au anaishi huko malamba mawili anisaidie uzoefu pakoje kwa maana ya ni tambarare au miinuko, vp maji si tatizo? Na mengine yatayofaa
Maana nimeonyeshwa nyumba kali sana..ila nikajiuliza mpaka sasa haijachukuliwa. Toka mwezi wa 3 mwanzon kabisa.Umbali naambiwa dk 10 mpaka lami. Sijafika bado nilikua ndo natazimia kufikaKwa nini usifike mwenyewe kupatizama, utakuja hamia au nunua eneo mkondo wa maji
Maana nimeonyeshwa nyumba kali sana..ila nikajiuliza mpaka sasa haijachukuliwa. Toka mwezi wa 3 mwanzon kabisa.Umbali naambiwa dk 10 mpaka lami. Sijafika bado nilikua ndo natazimia kufika
Malamba Mawili hapana Mkuu, waweza kuta nyumba unaiona hiyo hapo lkn huwezi ifikia kwa ajili ya uwepo wa Bonge ya korongo au gema. Kuna mabonde na Miinuko ya hatari karibu sana Mitaa ya Kwa Ndodi utatukuta wenyejiWakuu msaada tutani. Kuna mwenye amewahi kuishi au anaishi huko malamba mawili anisaidie uzoefu pakoje kwa maana ya ni tambarare au miinuko, vp maji si tatizo? Na mengine yatayofaa
Duh wa Mwanza milimani wasemeji kama kirumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] milima mikali sana lakini kuna majengo makali sana.
Kule huwezi kuishi kama ni mnyonge ujenzi wa mlimani si mchezo.
Kwa jinsi ulivyouliza inaonekana kama majibu unayo😂😂Wakuu msaada tutani. Kuna mwenye amewahi kuishi au anaishi huko malamba mawili anisaidie uzoefu pakoje kwa maana ya ni tambarare au miinuko, vp maji si tatizo? Na mengine yatayofaa
Kwa kweli🤣🤣🤣🤣🤣 milima mikali sana lakini kuna majengo makali sana.
Kule huwezi kuishi kama ni mnyonge ujenzi wa mlimani si mchezo.
Basi hakufaiWengi wa wanaoishi mitaa hii ni wale CCM ina wa classify kama wanyonge.